Kisa cha Beyonce na Jay Z kususia harusi ya Kimye chabainika

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kitendo cha Beyonce na Jay Z kutohudhuria harusi ya Kanye West na Kim Kardashian kiliwashtua wengi kutokana na ukaribu wao.

Na sasa ripoti mpya zinadai kuwa Beyonce na Jay Z waliamua kuitosa harusi hiyo kwakuwa Queen Bey hakutaka kufunikwa na bibi harusi, Kim. Chanzo cha karibu kimeiambia safu ya Page Six ya gazeti la New York Post kuwa wanandao hao waliichukulia harusi ya Kimye kuwa si ya hadhi yao.

“Beyoncé hakutaka kuruhusu Kardashian amemzidi umaarufu. Na Jay hakutaka uwepo Kanye na Kim – anadhani ni mbaya kwa biashara. Nadhani Jay amepoteza heshima Kanye hapo.”

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad