Jokate Ajipanga Kujitambulisha Rasmi kama Mwanamuziki Kupitia Kampuni Yake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ndoto ya kufanya muziki kwa asilimia 100 haijayeyuka, bado ipo kichwani mwa Jokate Mwegelo.
Baada ya kushirikiana na Lucci kwenye Kaka Dada, mrembo huyo amedai kuwa mpango uliopo ni yeye kujitambulisha rasmi kama mwanamuziki kupitia kampuni yake.

“Sasa hivi nataka nijiintroduce kama mimi as a music artist,” Jokate alikiambia kipindi cha Mambo Mseto cha Radio Citizen ya Kenya ambako alienda kikazi.

“Kwahiyo niwe na single zangu mwenyewe ambazo nazifanyia kazi kupitia kampuni yangu mwenyewe, that’s the way forward.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad