AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hata hivyo wimbo huo ulianza kusambaa kwa kasi kwenye mitandao ya kijamii na WhatsApp hata kabla haujapata nafasi kwenye radio na TV hadi sasa una mzunguko mkubwa na kumuwezesha Mo Music kufanya shows nyingi akizunguka Tanzania.
Mo Music ameiambia The Chart ya 100.5 Times Fm kuwa wimbo huo ulikuwa wimbo wa majaribio kwao na kwamba hakufikiria kama ungekuwa mkubwa kiasi hiki ingawa mashairi na melody zilimpa picha nzuri awali.
“Nilikuwa naimani kwamba message, melody pamoja na vitu nilivyotengeneza nilkuwa naimani hii ingekuwa kubwa, lakini sio kwa ukubwa huo uliotokea kwa sasa hivi. Lakini kitu kikubwa nachoweza kusema ni kwamba hii Basi Nenda ilikuwa nyimbo ya Majaribio. Kwamba hii nyimbo ilikuwa plan B, kwamba tunaijaribisha hii nyimbo halafu inayokuja ndio itakuwa nyimbo inayotoka.” Mo Music ameiambia The Chart ya 100.5 Times Fm.
Amewata mashabiki wake wausubirie ujio wake mwingine na wasiwe na wasiwasi kwa kuwa kinachokuja ni kikubwa zaidi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK