AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kwa mujibu wa mtandao wa Shagalist, mwanaume aliyetajwa kwa jina la Mr. Chen, mwanandoa mwenye umri wa miaka 44 na mkaazi wa Zhejiang, China amegundulika kuwa alikuwa katika siku zake kama inavyokuwa kwa wanawake kwa mzunguko wa hedhi(period) baada ya kufika hospitali akilalamika sana kuwa na maumivu ya tumbo.
Taarifa zilizotolewa na madaktari wa hospitali ya Yongkang zinaeleza kuwa mwanaume huyo alifanyiwa uchunguzi na kugundulika kuwa alikuwa na mfumo wa uzazi wa mbegu za mwanamke ingawa alikuwa na uume.
Ingawa mwanamme huyo aliwaeleza madatari kuwa amekuwa akishiriki na mkewe tendo la ndoa kwa miaka kumi ya ndoa yao bila tatizo, madaktari hao waligundua kuwa alikuwa anatoa mkojo wenye damu ambao uliwasababisha wafanye uchunguzi wa kina na kugundua hali hiyo.
Msemaji wa hospitali hiyo alieleza kuwa vipimo vya ACT Scan vilionesha wazi kuwa alikuwa na uterus na ovaries (mayai ya uzazi), na kwamba madaktari walieleza kuwa alikuwa amechelewa kupata matibabu kwa tatizo lake hilo lisilo la kawaida.
Mr. Chen mwenyewe alieleza kuwa alikuwa anasikia dalili ya vitu vingi visivyo vya kawadia hata katika maumbile yake, na kibaya zaidi ni pale alipoanza kuona anatoa damu badala ya haja ndogo.
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mmmmhhhhhhhhh
ReplyDelete