Rayuu Akimbilia Sambawanga Kusafisha Nyota ya Ustaa Bongo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Msanii  anayefanya  vizuri  katika  tasnia  ya  filamu  nchini, Alice  Bagenzi  ‘Rayuu’  amesema  amekuwa  akisikia  maneno  ya  chinichini  kwamba  ameenda  Sumbawanga  Kuroga….

Tetesi  hizo  za  Rayuu  kwamba  ameenda  Sumbawanga  kuroga  zimeanza  kuvuma  baada  ya  watu  kuhoji  kuwa  jina  lake  linaonyesha  yeye  ni  Mhaya, lakini  chakushangaza  amekuwa  akienda  Sumbawanga  mara  kwa  mara….

Kumtafuta  mrembo  huyo  ambaye  amekuwa  akiandamwa  na  kashfa  ya  kutembea  na  waume  za  watu  na  kusambaza  picha  za  utupu ili  kujua  ukweli  wa  mambo  ambapo  msanii  huyo  alifunguka  kuwa:

Nawashangaa  sana  watu  wanaosema  nimekuja  Sumbawanga  kuroga, sio  kweli, huku  nimekuja  kusalimia.Naipenda  familia  yangu  ndo  maana  nimeitembelea na  ntakaa  kwa  muda  huku  kwani  huwa  nai  miss  sana  nikiwa  Dar
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad