AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Tetesi hizo za Rayuu kwamba ameenda Sumbawanga kuroga zimeanza kuvuma baada ya watu kuhoji kuwa jina lake linaonyesha yeye ni Mhaya, lakini chakushangaza amekuwa akienda Sumbawanga mara kwa mara….
Kumtafuta mrembo huyo ambaye amekuwa akiandamwa na kashfa ya kutembea na waume za watu na kusambaza picha za utupu ili kujua ukweli wa mambo ambapo msanii huyo alifunguka kuwa:
“Nawashangaa sana watu wanaosema nimekuja Sumbawanga kuroga, sio kweli, huku nimekuja kusalimia.Naipenda familia yangu ndo maana nimeitembelea na ntakaa kwa muda huku kwani huwa nai miss sana nikiwa Dar”
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK