AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Stori: Jamila Said
STAA aliyeitendea haki sinema ya Kigodoro, Riyama Ally amesema licha ya kuwa ana mchumba lakini hayupo tayari kuolewa kwa sasa.
Akizungumza na mwanahabari wetu, Riyama alisema hahitaji kuolewa kwa sasa kutokana na kushuhudia ndoa nyingi za mastaa zikivunjika, hivyo anahitaji muda mwingi wa kufikiria juu ya mtu wa kuingia naye kwenye ndoa.
“Nitaolewa baada ya moyo wangu kuwa tayari kwani ndoa si jambo la kukurupuka, lazima uwe na mtu sahihi,” alisema Riyama.
GPL
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
lakini ww ni muislam ss kama unatoka nae bila ndoahili nalo ni tatizo.je umejifikiria kuhusu hilo
ReplyDeletemalaya mkubwa wewe utazeeka hakuna atakae kuowa!
ReplyDeletelione vile msula kama unatumbuliwa jipu la kwapa!
Ila kuzaa na wanaume inje ya ndoa poa sana kwako eeeh AIBU
ReplyDelete