AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kesi hizo za udhalilishaji kwa kusambaza picha za utupu, vitisho, ununuzi/uuzaji wa binadamu, udanganyifu, na vitisho zimefunguliwa kwenye mahakama moja jijini Yaounde, Cameroon, na aliyekuwa mchumba wa mshambuliaji wa huyo za zamani wa Chelsea, Hélène Nathalie Koah.
Mapema wiki iliyopita Koah alifungua kesi hizo dhidi ya Eto’o ambaye amekana mashtaka hayo.
Hatua hiyo ya imekuja siku chache baada ya kusambaa kwa picha zake za utupu kwenye mtandao Facebook, ambazo mhudumu huyo wa zamani wa ndege amesema zimesambazwa na Eto’o aliyekuwa mpenzi wake.
Eto’o amekanusha kuhusika na mchezo huo mchafu, na katika kujibu mapigo mchezaji huyo anayeongoza kwa kutwaa tuzo nyingi za uchezaji bora barani Afrika, amefungua kesi ya matumizi mabaya ya fedha($410,755) alizompa Ms Koah kwa ajili ya kufungua taasisi ya kusaidia jamii wakati walipokuwa wapenzi.
Mwanamke huyu alishawahi kuwaingiza kwenye beef mwanamuziki Fally Ipupa na Eto’o kwa kuwachanganya kimapenzi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Duh bila shaka mnyange ni mkaree ile mbaya kuchanganya mabilionea wawili yaani Dewji na Manji siyo mchezo!
ReplyDeletewapi mbonii
ReplyDelete