Agness Masogange Aamua Kubadilisha Uraia..Kwa Sasa si Mtanzania Tena

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kama mnavyojua  kwakipindi cha miezi isiopungua mi nne sasa..
Dada yetu Agnes Gerald aka Masogange aliamia nchini 

Afrika Kusini..Ambako kimsingi alipata bwana wa kuishinaye huko.

Leo hii asubuhi kupitia ukurasa wake wa INSTAGRAM 

masogange ametupia picha ya pasi ya kusafiria ya Afrika 

Kusini...na ku-caption alama ya kupiga makofi....hii 

nikuuonesha kuwa kwasasa sio raia tena wa Tanzania..kwa 

mujibu wa sheria zetu hapa Tanzania,haziruhusu uraia wa 

nchi mbili kwa hiyo kama ni kweli basi Masogange sio 

mtanzania mwenzetu tena...Baadhi ya watu waliocomment 

kumsifia ameonesha kuwajibu kwa furaha zaidi...
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

9 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Bora achape lapa! Tumechoka kuchafuliwa jina.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Hahahahahahahaha. Lakini inawezekana pia ni muongo. Atufungulie ile first page tuone picha yake na sahihi yake kama ni kweli. Hilo gamba la nje kila mtu anaweza kulionyesha.

      Delete
  2. Hana faida kwa WaTanzania so is up to her,who cares!!!!

    ReplyDelete
    Replies
    1. mkuu vp bwana umesahau kama alikuwa akiwapa watanzania wennzetu utamu huoni kama hiyo ni faida?

      Delete
  3. Muongo huyo kuma hatabaki kufilwa mpaka mkundu ulegee, south napajua mimi wanaume WA Kyle c waoaji, lands km mbongo kamuweka ndani.

    ReplyDelete
  4. Hili limatako liongo sana apelike sembe wampe na uraia, akamdanganye mama yake mxiuu

    ReplyDelete
  5. hivi passport ndio uraia?? m sielewi kidogo

    ReplyDelete
  6. Bora,Afadhali aishie hukohuko na masembe yake.

    ReplyDelete
  7. TUTAMISI TAKO LAKE JAMANI MAANA ALIKUWA ANAGAWA TAKO KM HANA AKILI NZURI VILE.............

    ReplyDelete

Top Post Ad