Ladies:Ringeni Sana Mlio Kwenye Miaka 18 mpaka early 20's..Ukifikisha Miaka 30 Hujaolewa Utajuta

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Wanawake waliofika miaka 30 na kuendelea na hawajaolewa huwa wanahonga asikwambie mtu, lengo ni kumvutia mwanaume ili amuoe.

Kutokana na kupoteza matumaini ya kutokuolewa kwa muda mrefu ikitokea kwa bahati mbaya au nzuri kuna mwanaume kajitokeza na kaonyesha dalili za kumuoa basi mwanamke huyo atamuhonga mwanaume pesa mpaka basi.

Mara akununulie suti, mara mashati, mara soksi.... ni hatariiii aisee..... yani hata awe hana hela yupo radhi alale njaa ilimradi akufurahishe

Mwanamke aliyezidi miaka 30 na hajaolewa akimpata mwanaume mwenye uelekeo basi anaweza akawa hata anambeba njiani, hata umwambie nibebe kutoka ubungo mpaka kariakoo basi mwanamke huyo atakubeba.

Ringeni sana mlio kwenye miaka 18 mpaka early 20's....... UKIFIKA MIAKA 28/29/30 UTAJUTA, NA HIYO NDIO MPAKA UZEENI...
____________
____________
UPDATE: Maisha yenyewe ya kiafrika haya, mtu ukiishi sana unafika miaka 40 halafu leo uolewe na miaka 35 au 37. YAANI UNAKAA SIKU MBILI AU TATU KWENYE NDOA HALAFU UNAKUFA?????? NA UKISHAFIKA 30+ HUWEZI PATA MWANAUME ORIGINALI AU BRAND NEW, UTAISHIA KUPATA USED/GUBE GUBE LILILOSHINDWANA NA MKEWE.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

33 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Tatizo wkiwa katika peak ya ujana wao wanaringa na kutesa hatariii... yani ww mwanamme mpaka unajuta kumfaham, hawana care na wewe jeuri thn wanaweza amua muda wowote kukubwaga bila huruma na ukiwabembeleza ndo mungu wangu utatukanwa matuc ambayo mengine mapya kabisa kuyaskia... ila maskini hawajui kua life span yao ya kutesa fupi saaana... yaani naamini mwanamke hasa wa hapa bongo kukaa kwenye kipind cha kuhit.. ule mvuto wa hali ya juu c zaid ya miaka mitano.. wamejitunza hawajatombesha kiviiile ndo walau wanafika ten years.. kuna wachache sana wanaopata akili ya kujitambua maapema na kuamua kustic na watu wao mpaka ndoa wengine wanakuja kuhamia kwa waganga baadae wakiona washachwea... unapigwa limbwata weeeeee mpaka unapeleka barua huku moyo hautaki matokeo ndoa haina amani nyumba ndogo kwa sana.. amkeni wasichana majuto ni kilembwe na c mjukuu tena!!

    ReplyDelete
  2. Labda kwa wale Wachovu na ambao wako desperate kuolewa si wenye akili zetu timamu tunaojitambua I don't care whether I'm sixty-five or ninety-nine will never settle for less or take any crap from a man I won't spend a penny on him I'd rather remain unmarried for the rest of my life than to be a stupid pathetic desperate woman who beg men for marriage.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Bado sijakuelewa mdau unaposema you won't settle for less or take any crap from a man that is like to say I won't settle for less or take any crap from a woman. I think it applies in both genders. Hiyo ya kusema eti you won't spend a penny on him simply because you're not stupid pathetic desperate woman nadhani hiyo sasa ni Roho mbaya na actually unaondoa maana nzima ya relationship. Kwa sababu katika relationship yoyote kuna kusaidiana you never know what gonna happen along the way. Supposedly na mwanaume aseme the same thing hiyo itakuwa relationship ya aina gani??? Usijiwekeee sana hiyo confidence kabla hujafa haujaumbika shauri yako.By the way how old are you? Inavyoelekea una lack of life experience. Na pia unaongea kama mtu pessimistic.

      Delete
    2. Na pia usijidanganye. Wanawake at some point huwa wanafikia kuwa desperate kuolewa na hasa pale biological clock inapoanza ticking. Ni mademu wengi sana wanakuwa desperate katika kipindi hicho na hasa wale ambao wamelelewa katika environment ya kujiheshimu ambayo ili kupata mtoto ni lazima uwe umeolewa na sio hivi hivi tu kwani in some societies ukipata mtoto nje ya marriage wanaweza kuku isolate. Kwa hiyo mdau usiwadanganye sana watu hasa watoto wadogo wanaosoma mtandao huu.

      Delete
    3. Namiaka yangu34 sijaolewa ilaniliishi namwanaume5yrs.nikasarenda vituko nivingi nikaona kamanisipokufa na stress basi maradhi.mana stress kutwa nilitoka mwenyewe.naishi kivyangu nilisotasana lkn nakazi yangu namaisha yanasonga.nimesahau ndoa nahata sioni wakumpenda wote walewale.sina presha walakuumia sijaolewa nasifikirii kuolewa nakuhonga nimwiko kwa mwanaume huyo wakwanza nilikuwa nikisaidiana nae akikwama natoa mpk million Nampa ILA alipopata hela nilikoma hakuwa Nautu.cwez kurudia kosa kumpa hela mwanaume ctak.lbda Augue ntamtibia akipona sihitaji shukrani.nasasa namimba miezi kadhaa nilipata boyfriend simtanzania ndionikapata mimba nalea tumbolangu sijamwambia alinikera ILA ntamwambia ajue tu sikama nahitaji msaada kwake.akitoa sawa asipo toasawa nashukuru mungu mtoto nizawadi basi.cjuti naninafuraha nakilasiku kama nafungukiwa baraka toka nipate mimba.namshukuru mungu.siwezi kuwa desperate

      Delete
  3. Huyu Mwandishi anaongelea wasichana Wa Kiswahili wale wazaramo,mtoto Wa kitasha umri Huo Yuko University anapiga book,Na kuolewa Ni bahati Si tumboni mwetu tuko Sita na wote tumeolewa tulivyomaliza chuo kikuu,32-35.UPO?

    ReplyDelete
    Replies
    1. Is true. Hiyo age kwa watasha ni College age. Sio kwamba hawajui ndoa ni kitu gani bali wanakuwa focused zaidi na career zao. Na ni ukweli watoto wa kizaramo ndio wanaota kuolewa at that age wao kwao shule ni kama mwiba mchungu is soooo sad.

      Delete
  4. acha ujinga kuolewa ni wajibu wa kila mwanamke na kila mwanamke anamume wake labda awe amekufa
    pia michepuko na magonjwa hayaishi sababu watu wanaolewa au kuoa kwa kufuata mikumbo wakiwa hawana akili ndoa hazina heshima hata kidogo,,,, nawashauri dada zangu mwombeni Mungu msiende kwa mikumbo wavulana wana tamaa tu

    ReplyDelete
  5. Wasichana wengine bwana so so desperate mpanga wanajitangaza mitandaoni,lilia bahati usililie UZURI,Joketi mwegelo pole sanaaaa.

    ReplyDelete
  6. I don't care for real. Kwangu mwanamke haijalishi age kwani age ain't nothing but a number ili mradi awe tu na respect na hizo core values. ingawa hawa wasichana wa 20s bado ni vi teenegers akili zao bado hazijakomaa ndio kwaanzaa huwa wanaanza hizo dating games. Wa aina hiyo kwangu atakuwa pasua kichwa while I am looking to settle down.

    ReplyDelete
  7. hii ndugu mwandishi amelenga kwa wale magoli kipa wasio na elimu kama mama yake.

    ReplyDelete
  8. kwa mawazo kama haya ndio maana watu weusi hatuendelei, wanawaza ndoa tu ndio thamani ya mwanamke! wanaume jioeni basi naona mko so desperate kudhalilisha wa kina mama kwasababu wako soo independent pyeeeeeee

    ReplyDelete
  9. kuoa kitoto cha miaka 19 au 20 ni shida, vingi havina ufahamu wa maisha wala shule, i ni shida shida tu. Inaonyesha mwandishi hujui usemalo... 30, 35 ndiyo wa kuoa..... we oa tu huto twenye macho juu juu..... kasipo pelekwa disco ndoa invunjika...

    ReplyDelete
  10. Wewe mwandishi inaelekea elimu yako niyadarasa la 4 ulifeli kuingia la 5 ndio mana unaongea pumba watu umri huo bado wako college sio kwenye ndoa pusi wewe rudi shuleni. Ukasome japo elimu ya watu

    ReplyDelete
  11. Kwikwi napita u make my day lol

    ReplyDelete
  12. Hahaa anony 7.03 u said it well! I wish to have such a man as hubby!

    ReplyDelete
  13. Anony 6:30 umeni touch sana! Ningekuwa sijaoa wewe ndiye mwanamke wa kuoa! I love intelligent women wa aina yako! Hata kwenye ndoa utajiheshimu! Salute!

    ReplyDelete
  14. Mwandishi elimu yako ni standard 7 ya Kata bila ubishi! Pole na mind ya kipuuzi hivi no wonder Africa is very poor continent! These are typical African men! Wenzenu wanavumbua na kupiga hatua ninyi akili zenu zipo kwenye mabakuli ya jikoni! Shame African men! Ptuuu

    ReplyDelete
    Replies
    1. Watuwekee vidude vya LIKE humu ndani maana huyu kanikosha haswaaa POINT LIKEEEEEE

      Delete
  15. hiyo sikweli miaka 30 ndio uhonge labda hujiamini wengi wameolewa na zaidi ya hiyo miaka kinachotakiwa nikujiamini na kujiheshimu hao wanahonga niwale viruka njia havina malengo yoyote wapowapo tu

    ReplyDelete
  16. Umeona wanaohongwa wanavodhalilika kwenye ndoa! Mcheck Emanuel Mbasha na Edzen wa Dida! Vaaeni suti za kuhongwa na wanawake halafu iko siku mtavuliwa makoti hayo mbele ya washikaji na michepuko!

    ReplyDelete
  17. Carrier woman hana upuuzi huo! Hao ni wanawake wa vigodoro wasiokuwa na ambitions zaidi ya kukata miuno na kuzeekea kwenye karo la kuoshea vyombo! Destinies zao ni jiko la mkaa, sink la vyombo na kitanda kilichotandikwa mashuka ya kudariziwa! Not us classy women!

    ReplyDelete
  18. Anony 10:53 you said it very well! Akili za hao vigodoro wa kike zimefanana exactly na za mwandishi wa article hii! Birds of the same feathers........

    ReplyDelete
  19. Mi natafuta mke jamani asiwe amezaa miaka 30 mpaka 44.Mi nina miaka 45 tu na sijawahi kuoa.

    ReplyDelete
    Replies
    1. Joketi mwegelo kajitangaza amatafuta mume nikupe Namba yake?

      Delete
  20. Stupid man ever! I will rather get 40 sijaolewa kuliko kuolewa na mwanaume mwenye akili ndogo kama wewe mwandishi! .. U must be a broke ass!

    ReplyDelete
  21. Hivi ninyi wanaume vilaza mna guts gani za ku point out age ya kuolewa wanawake wakati ninyi mmejishindwa???? Ushahidi ni umasikini uliokithiri katika nchi yetu! Hakuna huduma bora za afya, miundo mbinu, elimu, Maji, umeme, makazi bora, nchi ina njaa, hayo mmeshindwa, mnataka hawa wanawake waolewe wakaishi wapi? makazi duni, wakazalie wapi? hospitali zimekufa, wapeleke watoto shule gani, elimu imekufa! Mna akili kweli ninyi African men??? Mmelogwa na nani?

    ReplyDelete
  22. Hivi ninyi wanaume vilaza mna guts gani za ku point out age ya kuolewa wanawake wakati ninyi mmejishindwa???? Ushahidi ni umasikini uliokithiri katika nchi yetu! Hakuna huduma bora za afya, miundo mbinu, elimu, Maji, umeme, makazi bora, nchi ina njaa, hayo mmeshindwa, mnataka hawa wanawake waolewe wakaishi wapi? makazi duni, wakazalie wapi? hospitali zimekufa, wapeleke watoto shule gani, elimu imekufa! Mna akili kweli ninyi African men??? Mmelogwa na nani?

    ReplyDelete
  23. Sitaki namba ya Jokate,nataka mdada wa mtaani tu wa kuoa asiwe na mtoto miaka 30 hadi 44.Weka email nitakutafuta.Niko serious jamani.

    ReplyDelete
  24. Hahahaaa eti wamelogwa! Isitoshe aliyewaloga kafa! wanaume hawawazi maendeleo wala kupigania ustawi wa taifa, wameinama kama kondoo wenzao wanachimba gesi wanabeba, madini yote wanabeba, sisi wanaume zetu ni vijiweni kuongelea matako ya wanawake, mpira simba na yanga na chuki za kidini! Mungu saidia wanaume wa Tanzania! Ndiyo sababu wanawake wanawakimbia!

    ReplyDelete
  25. Wewe unataka mke au MTUMWA wa kukufulia na kukupikia, kutandika kitanda na kukuvua soksi???

    ReplyDelete

Top Post Ad