AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Pamoja na mambo mengine agenda ni
1) Kujadili aina ya uahirishaji/kuvunja bunge la Katiba bila kuathiri taasisi yao,
2). Mkakati mpya wakuizima CHADEMA na UKAWA baada ya huu wa akina Mchange na jeshi la polisi kufeli, (huu nitauweka peupe baada ya kumaliza kukusaji data)
Tusubiri mpaka jioni, kitendea kazi chetu kilichoshehen ndani ya ukumbi huo kitakapo funguka ipasavyo
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Watahangaika sana ccm kujinasua kwenye huu mtego waliojiingiza kwa kutegwa na ukawa ila hawachomoki kwa hili.mengine wamezoea kutudanganya watanzania ila kwa hili la katiba wamebugi.miaka 50 waliowaibia watanzania inatosha wakae pembeni sasa tunahitaji mabadiliko ya fikra na uhuru wa kiuchumi na maendeleo chanya
ReplyDelete