CCM Waitisha Kikao Cha 'Dharura' Leo Dodoma ili Kuvunja Bunge la Katiba Bila Kuathiri Chama!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Nzi wetu aliye ndani ya sekretarieti ya ccm ametupasha kuwa CC ya CCM imeitisha kikao cha dharula leo pale Dodoma.

Pamoja na mambo mengine agenda ni

1) Kujadili aina ya uahirishaji/kuvunja bunge la Katiba bila kuathiri taasisi yao,

2). Mkakati mpya wakuizima CHADEMA na UKAWA baada ya huu wa akina Mchange na jeshi la polisi kufeli, (huu nitauweka peupe baada ya kumaliza kukusaji data)


Tusubiri mpaka jioni, kitendea kazi chetu kilichoshehen ndani ya ukumbi huo kitakapo funguka ipasavyo
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Watahangaika sana ccm kujinasua kwenye huu mtego waliojiingiza kwa kutegwa na ukawa ila hawachomoki kwa hili.mengine wamezoea kutudanganya watanzania ila kwa hili la katiba wamebugi.miaka 50 waliowaibia watanzania inatosha wakae pembeni sasa tunahitaji mabadiliko ya fikra na uhuru wa kiuchumi na maendeleo chanya

    ReplyDelete

Top Post Ad