Chris Brown Akoswa Kupigwa risasi na Watu Wasiojulikana Ndani ya Club.

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Chris Brown alikuwa host wa pre party ya VMA Awards ndani ya 10AK club huko Hollywood. Kilichotokea kwenye hiyo party ni kupigwa risasi watu watatu na kukimbizwa hospitali akiwemo music producer Suge Knight.

Mashuhuda wa tukio hilo wanasema kwamba risasi hizo zilikuwa na lengo la kupiga Chris Brown japokuwa Chris ameondoka akiwa salama kabisa.
Baada ya fujo hizo kutokea Chris Brown ali-tweet hivi


VMA Awards zinafanyika leo 24/8/2014 na Nicki Minaj anategemewa ku-perform wimbo wake wa Anaconda.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad