AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mchezo huo uliomalizika hivi punde ulipigwa kwenye dimba la Stamford Bridge na Chelsea wakitoka kifua mbele kwa ushindi wa 2-0.
Diego Costa kwa mara nyingine alifanikiwa kuifungia Chelsea baada ya kufanya hivyo kwenye mechi ya kwanza.
Costa alifunga goli la kwanza dakika chache baada ya kipindi cha pili kuanza, na dakika kadhaa Hazard akawainua tena mashabiki wa Darajani kwa goli safi.
Leicester City watajilaumu wenyewe kwa kushindwa kupata matokeo chanya kutokana na kupoteza nafasi za kufunga mara kwa mara.
Matokeo mengine yapo kama ifuatavyo: Swansea 1-0 Burnley, Southampton 0-0 West Brom, Crystal Palace 1-3 West Ham
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
chelsea ndio mabingwa wa msimu huu.
ReplyDeleteKweli kabisa. the blues Ndio bingwa msim huu.
ReplyDeletearsenal ndie bingwa..chelsea hamna kitu
ReplyDelete