AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mtangazaji Maarufu Gardner G. Habash Ambae pia ni Mume wa Mwanamuziki Lady Jay Dee Amezipangua Tuhuma ambazo zilienea Kwenye Mitandao Week iliyopita kuwa ndoa yao haipo tena, Gardner Amesema kuwa watu wanaunganisha unganisha matukio na kutunga yao ila si kweli kwamba wameachana...
Si mara ya kwanza kwa mastaa hao kudaiwa kutibuana kwani walisharipotiwa kutaka kutengana lakini mara nyingi huwa wanakaa chini na kuyamaliza kimyakimya.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Wewe umezidi umbeya.tuwekee na ya kwako tu-comment.
ReplyDeleteHahahahaha na kwel aweke yake tuyachambue
ReplyDeletenimeipenda ya mdau wa kwanza, utakuta yake ndo hataa hayatatuliki
ReplyDeleteNdoa taasisi ya kinafiki! Hata ukitobolewa jicho mbele za kadamnasi utasema umepata ajali ya bodaboda!
ReplyDeletekila lakheri bidada..ila mzalie g katoto jamani
ReplyDeleteMmmh kila la kheri ndoa yenu idumu ila G punguza kuchepuka...hakuna jipya wazuri wengi huwezi kuwamaliza wote rizika na ulie nae..ukishikwa shikamana my kaka..
ReplyDelete