AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kitendo hicho kimemuamsha Gwajima na kusema Kanisa la Ufufuo litakuwa naye katika uchaguzi wa 2015 na watamchagua tena.
Kanisa la Ufufuo na Uzima limemuahidi kumsaidia Halima Mdee kuhakikisha shule zote za Msingi Kawe zinakuwa na Umeme vilevile watahakikisha wanafunzi wote wa shule za Msingi Kawe wanakaa kwenye Madawati.
Gwajima kaitaka Serikali imruhusu kufanya Mikutano katika Mikoa ya kusini mwa Tanzania. Kasema gesi ni ya watanzania, Hata hivyo kasema migogoro ya Gesi haihusiani na imani za watu hivyo kataka waislam na Wakristo waruhusiwe Kufanya mikutano kusini Mwa Tanzania. Kaitaka serikali itambue gesi ni kwaajili ya Watanzania hivyo watanzania ndio inabidi wanufaike kwanza na hiyo gesi.
Band ya Jeshi la Magereza ndiyo imealikwa kumpigia Nyimbo Halima Mdee atakapokuwa anasimama kutoa salamu. Kasema anamheshimu Halima Mdee kwa kuwa ndiyo Mbunge Mwanamke wa kwanza Tanzania na Dar es Salaam kutoka Upinzani kushinda Uchaguzi bila kutoa Rushwa.
Kasema Halima Mdee anaiwakilisha na kuitangaza vizuri Kawe hivyo wanakawe inabidi watambue Umuhimu wake.
Gwajima anasema sisi ni Watanzania hatupaswi kuwekewa mipaka sehemu ya kufanya Injili ndo maana nimenunua Helkopta kuzunguka Tanzania nzima hata huko Mtwara nitaenda japo Serikali inakataza. Watu wa Mtwara nao inabidi wamjue Mungu ili kupunguza Uharifu. Vilevile Gwajima na washirika wake wamesema wanaunga Mkono Serikali Tatu. Kasema wale wanaodai mbili hata hizo mbili hazipo. Zingekuwa mbili kama Tanganyika ingekuwepo.
Gwajima kasema Zanzibar ipo lakini ipo na Serikali nyingine ambayo ni Tata. Hivyo watu wanapaswa watambue uwepo wa Tanganyika.
Kasema Tanganyika na Zanzibar ni mbili tayari hivyo tunatakiwa tupate ya Tatu ambayo inaziunganisha hizi mbili.
VIDEO:
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Huyo mwanamke naye kiherehere chake maneno meeeengiii. Anashindwa hata ku provide datas ku suppot huo uwongo anaozungumza hovyoooooooooooo
ReplyDeleteFlora Mbasha yupo wapi?
ReplyDeleteNataka namba yake
ReplyDeleteHalima mdee utapigwa pumbu ohooo
ReplyDeletekampeni zimeanza kumekucha, huyu dada anajuwa kawe wamemchoka anatafuta pa kufiamo
ReplyDeletehaop ndio kajiharibia kabisa kampeni ndani ya kanisa hata huyo mschungaji naye anamatatizo
ReplyDeleteNampenda huyu dada ikibidi nimuoe kabisa.Naomba contact zake kwa mwenye nazo...!
ReplyDeleteUtamuweza?anaongea mpaka povu.
Deletewewew unataka kumuoa au kulelewa pumb weweeeeeeeeeeee
ReplyDeleteTanil Somaiya, mmiliki wa shivacom na Ultimate security anayo helicopter long time na inapaki pale Sea Cliff hotel karibu kabisa na magari.
ReplyDeleteSasa Gwajima sio mtu pekee kumiliki helicopter hapa TZ.
Pumba tu, haya mambo ya dini na siasa wapi na wapi? hamna kumpa kula mtu kama huyu, hajiamini, labda amesha vuruga wananchi wake kwenye eneo lake na walio wengi hawamtaki tena, piga teke kule wabunge wanaousudisha njaa zao kwa kushiba kwa kupitia siasa uchwara
ReplyDelete