AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanaume mmoja huko nchini Uganda Amekamatwa baada ya Kujifanya ni Mwanamke ili apate kazi ya House Girl, Zoezi lake hilo lilifanikiwa na kuweza kupata hiyo kazi lakini siku zilivyozidi kwenda Boss wake ambae ni Mama Mwenye Nyumba alishtukia mchezo na kugundua ni Mwanaume, Baada ya kugundulika jamaa alichukua kipigo kutoka kwa Majirani , alipoulizwa kwanini ameamua kufanya hivyo alijitetea akasema Maisha ni magumu na kupata kazi kama mwanaume ni ngumu...
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Kazi kwa kweli!
ReplyDeletewamsamehe na km anafanya kazi vizuri huyo mwajiri wake aendelee kumpa ajira kuliko kuingia mitaani na kuiba
ReplyDeleteSo sad anaonesha kama ana shida msingempiga bora ungempa pesa japo kidogo apete ya kula chakula
ReplyDeletekwakweli wamsamehe bure, kuliko angekua ni shoga au anabaka watoto wa mwenye nyumba, maisha ni ngumu wandugu
ReplyDeleteameshajitetea maisha ni magumu na kupata kazi kama mwanaume ni ngumu,mwacheni 2, atafanya kazi kwa uaminifu mradi mmeshamtambua.
ReplyDeleteSie tuliozoea kunyemelea mahous girl ucku ingekua shiiiiiiida... unanyata unaprleka mkono unakuta huo mguu wa mtoto wa standard one.. unaanza kulia mwenyewe!!!
ReplyDeletesasa mnatuonesha picha ya dudu lake ili iweje pumbafu zako mdakuuzi
ReplyDelete