AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hata hivyo, Nchemba amesema kwa sasa hafikirii suala hilo kwani amebanwa na utekelezaji wa jukumu alilokabidhiwa na Rais.
Nchemba, ambaye pia ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM Tanzania Bara, aliyasema hayo jana wakati akihojiwa na kituo kimoja cha televisheni nchini.
Alisema amekuwa akipokea ujumbe mwingi kutoka kwa wazee wa kijiji cha Butiama, mkoani Mara na kutoka kwa vijana wa vyuo vikuu wakimuomba awanie urais mwaka 2015, lakini suala hilo haliwekei umuhimu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
itakuwa vizuri sana kwa watanzania kama cccmmm watakusimamisha, maanake upenzani utashinda kirahisi, tunaomba iwe hivyo!!!
ReplyDeleteUnaota saa sita mchana,
Deletendoto za mchana wengi huwa wanaamini wanachokiota kuwa kweli.
utatusha...na ukipata wapinzani watakoma.kwenye bunge tu unawakimbiza,ukiwa rais watakuloga.ila mi ntakuchagua
ReplyDeletendoto hizooo!!! labda wapiga kura wote wawe wendawazimu!!
ReplyDelete