AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Taarifa zinazohusiana na mafanikio katika mikutano ya vyama vya upinzani ama asasi zenye mtazamo tofauti na CCM hazirushwi na Tv wala redio ya Taifa isipokuwa ya CCM ama vikundi vinavyoisifia CCM.
Makongamano mengi yanayofanyika nchini kuelimisha wananchi kuhusiana na mustakabali wa Taifa letu hayarushwi hata kwa kuchukuliwa vipannde hasa vinavyoikosoa serikali ya CCM.
Nadhani ninyi nyote ni mashahidi.
Je, nani anabisha na kwanini?
Hongera ITV Angalau Mpo Katikati na Mnaonesha vipindi Bila Kuwa Mlango wowote wa Kisiasa..
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Kweli hakuna longolongo.sasa si wabadili jina waite ccm brodcasting telivision.
ReplyDeleteNi kweli kabisa ITV mko juu sana kwa kutuelimisha hilo halina ubishi sasa hiv taarifa ya habari inayoangaliwa kwa wingi ni ITV!mko juuuuu!
ReplyDeleteSikumbuki lini mara ya mwisho kuangalia taarifa ya habari ya tbc! Mayb kipindi Tido Muhando alivyokuepo aliibadilisha.
ReplyDeleteMinaking'amuzi ILA taarifa ya habari Yao stizami natizama ya chnel 10,itv, na star tv.wao nawaonaga wazushi tu na ccm Yao.itv mengi Yuko vzuri sio mnaleta habari zakusifia ccm tu nisawa uwe nadini uwazarau wenzio unaona dini yako ya thamani.siwafagilii tbc hatakidogo wababaifusana.
ReplyDeleteHata watangazaji wake wako serious utadhani wako kwenye chumba cha mtihani was hesabu mfano Gabriel Zacharia akitangaza taarifa ya habari mie hua nahic ananifokea so naamua ku-tune Star Tv
ReplyDeleteKama huangalii TBC, umemjuaje Gabriel Zakaria? Na hatakama msipoangalia, mishahara yetu iko pale pale......mpo!
ReplyDelete