Watu Wawili Wafariki Kwenye Ziwa Victoria Walipokuwa Wanabatizwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Walikuwa wakibatizwa na mchungaji Nehemia Upendo wa kanisa la POOL of SILOAM

Huu utaratibu wakubatiza ziwani bila kujali hali ya hewa usifumbiwe macho.
Its time sasa serikali ichukue nafasi kuyafungia haya makanisa ya ajabu ajabu...

Wakati watu wanabatizwa wakapigwa na wimbi.
Watu wawili wameripotiwa kufa.
-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

4 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Ee Mungu zipokee roho zamarehemu wote waliotangulia mbele ya ufalme wako na uzilaze mahala pema peponi. Amina

    ReplyDelete
  2. duh! hii kali

    ReplyDelete
  3. HUU UBATIZO KWENYE ZIWA VICTORIA SI NDIKO KUIBUA NA MAGONJWA YA SARATANI HUKO AU HAWAJUI WANAKIMBILIA TU POOL OF SILOAM

    ReplyDelete
  4. Mambo yakisasa hayo haya vipi mikoa isiyo na maziwa mnachimba visima au.?ubatizo ni ishara ya msalaba na maji yaguse kichwani kidogo tu utosini hizi habari zakubatizana miguu mikono kiuno mgongo matokeo yake ndio hayo..poleni sana ndugu wa marehemu..Mungu atusaidie sana

    ReplyDelete

Top Post Ad