Amber Rose avunja ukimya tuhuma za kuchepuka na mme wa Mariah Carey, aeleza chanzo cha kumuacha Wiz Khalifa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Amber Rose aliwashtua mashabiki wake na Wiz Khalifa baada ya kuripotiwa kutengana na mumewe huyo huku akifanya taratibu za kupata talaka yake kisheria.

Baada ya taarifa hizo kusambaa kwenye vyombo vya habari siku mbili zilizopita, iliripotiwa kuwa chanzo cha yote ni Amber Rose kuchepuka na  mme wa Mariah Carey, Nick Cannon ambaye pia ndoa yake iko katika sintofahamu.

Hata hivyo, Amber Rose amethibitisha kuwa Wiz Khalifa alikuwa akimsaliti na wanawake wengine huku akikanusha vikali tuhuma za kuchepuka na mwanaume yeyote kwa kipindi chote cha ndoa yao.

Ameendelea kusisitiza kuwa hivi sasa anakijikita katika malezi ya mtoto wao wa kiume, Sebastian.

Amber ameandika tweet kadhaa kupitia twitter kuhusu sakata hilo.

Please stop with the fake stories. I would never ever ever cheat on my husband in a million years I think u guys know this..... Unfortunately my now ex husband can't say the same…. I'm devastated and crushed but my main focus is Sebastian. Thank u for all the support in this difficult time.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad