AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kupitia Instagram yake hit maker wa ‘Number 1’ ameamua kuwaonjesha kidogo mashabiki wake wimbo mmoja ulioko kwenye maktaba yake.
“wakati Mwingine natamanigi hata mngepata dakika moja tu ya kuskia nyimbo nilizo nazo ndani, … hii inaitwa #Nitampata_wapi? sjui kina @babutale wataitoa lini… maana haipo kabisa katika list ya nyimbo zitolewazo… ila, kwakuwa nyie ni watu wangu wa nguvu nimeamua kuwaibia kidoogo, sjui watanimind!#GermanyWeekEnd.” – Diamond
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mbona nyimbo zake zote zinafanana
ReplyDeletehuyu kafanya nini ujermani,,,,sijaisoma vizuri
ReplyDeletejamaniiii nime google sign za vidole anazozitoaga domo ni za wavaa suti.duuuu hiii ni hatariiii,mpaka naogopa.
ReplyDeleteHii Ngoma kali sana! Nnna hamu ya kusikiliza kila dakida yaani.....Good Job Diamond Plutnumz....
ReplyDeletewacha atupe mambo .....ni bonge la ngoma
ReplyDelete