AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Inadaiwa kuwa Uwoya anapenda wanaume wasio wanene, wenye miili ya kimazoezi na wasio na vitambi kwa madai wako vizuri sana kunako sita kwa sita na mwenyewe huvutiwa nao sana. Chanzo kimoja kutoka kambi ya Uwoya kikizungumza jana kilisema:
“Wanaume wengi wakiwemo wenye pesa zao wamekuwa wakimsumbua Uwoya , yeye hana muda nao maana sio type yake. Anapenda wanaume wenye vifua vya mazoezi na wasio na vitambi, yeye anaona wenye vitambi na wanene hawawezi gwaride la sita kwa sita”.
Hata hivyo Uwoya hakupatikana kuzungumzia suala hilo lakini takribani mwezi sasa alipohojiwa na jarida moja linalotoka kwa mwezi mara mbili alisema kuwa hapendi wanaume wanene linapokuja suala la mahausiano ya kimapenzi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Jamani nashindwa kuelewa,hivi mtu lazima ujibu kila unaloulizwa na mwandishi?
ReplyDeleteKwa huyu dadangu Irene kujibu hivyo,ni ukosefu wa nidhamu, au umalaya wa kupitiliza,
au akili mbovu,au kitu gani sijui.
Sasa ww naye hapo ukosefu wanidham uko wapi mana kila mtu anasteam yake ya vitu anavyopenda kama wanaume kuna wanaopenda wanawake wenye makalio makubwa na kuna ambao wanapenda wanawake wembamba na kuna ambao wanapenda wanawake weupe nakunawaopenda wanawake weusi kila mtu anafreedom kusema anachopenda, tena mm ndo napenda wanaume wembamba wenye vifua vya gym akikubeba yule unaona raha zote dunian wa vitambi hawako sexy. Who wanna fuck janaume limetepweta kula kula ovyo mwanaume gym. Asante irene yan ww namm hapa hakuna tofauti. Sasa ww uliyecomment hapo juu kama unakitambi bora uanze gym. Ni hayo tu
ReplyDeleteaarrgh kitambi kwani mimi nakibeba c ni chake lol bora asiwe andunje tuu!
ReplyDeleteMmmenifurahsha wadau teh
ReplyDeleteKitambi dooh nahisi kitanibana mipia sitaki
ReplyDeletemh
ReplyDeletemtoto mapaja laiinnniiii!!! kmamke walai!!! anayemgonga huyu anafaidi ile mbaya!!
ReplyDeletekwan mapaja ndo yanayogongwa?
ReplyDelete