AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kupitia kisehemu cha You heard kwenye kipindi cha XXL Soudy Brown amekuja na stori inayohusu hali inayosemekana anayo kwa sasa Meninah kwa kile kinachosemwa ana ujauzito wa Diamond Platnumz.
Meninah ameanza kwa kusema>>’Hapana sina ujauzito,siko na Diamond pia sina mimba sina ujauzito kwani hizo habari unazitoa wapi?mimi sina mimba wala ujauzito,siko nae na sifatilii haya mambo’
Alipoulizwa na Soudy Brown kuhusu kutajwa na Diamond kama wife material Meninah amesema ‘Hapana hakuna kitu kama hicho naweza kuwa wife lakini sijawa tayari kuwa wife material.
Bonyeza play kumsikiliza Meninah akiongea na Soudy Brown.
SIKILIZA HAPA.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
domo wagonge tu hao, lakini kumbuka kuvaa ndomu, sababu watakua.
ReplyDelete