Bifu Wolper na Rayuu: Rayuu Amtaka Jack Wolper Akapime Ukimwi na Kuyaanika Majibu yake

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Bifu lingine la chini chini kati ya Waigizaji wa Bongo Movies Jackline Wolper na Rayuu Limefikia Pabaya Pale Ambapo Rayuu Ameibuka na Kumtaka Jackline Wolper Akapime Ukimwi na Kuanika Majibu yake kama alivyofanya yeye.

Imefikaje Huku:

Rayuu Anadai Alisikia kutoka kwa Mashosti wake Kuwa Jackline Wolper anamtangaza kwa watu kuwa anaukimwi jambo lililomuuma sana na kuamua kwenda kupima ngoma na kuweka majibu kwenye mtandao wa Instagram, Sasa Rayuu nae anataka Jackline akapime Ngoma na Atuoneshe Majibu yake...Patamu Hapo!!
-------------------
“Letting go doesn't mean that you don't care about someone anymore. It's just realizing that the only person you really have control over is yourself.” 
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad