AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Huu unaweza kuwa pia ndio uthibitisho hata CUF, kule Zanzibar sii lolote sii chochote!, 2015 ni CCM Tena?!.
Ni swali tuu!.
Pasco
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mambo yakulazimisha mambo tuuu.nahuo uchaguzi wala sipigi Kura uzushi mtupu.watatuletea mafamba tu wenye matumbo ya ufisadi walevizuri.nakaa kimyasipotezi mda wakupiga kura.zaidi ntasali tu lakini sitojishosha kwa ajili yawatuwachache wanaotaka kujinufaisha wao.na mungu atawashuhulikia sawasawa uovu tumeuchoka.
ReplyDeletekusoma hujui na picha huoni?
ReplyDeleteKajambe kuleee
ReplyDeletewe admini bwege, c lolote na c chochote ni wewe na tumbo lako lakifisadi, boya wewe
ReplyDeleteacheni usenge,tanzania tutaendelea kuwa masikini tuuu,inabidi tuchague viongozi bora bila kuangalia chama
ReplyDelete