Matokeo ya Katiba Mpya Haya Hapa, Ukawa Kubalini Matokeo Tujenge Nchi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Matokeo ya Katiba Mpya ndio haya, imepita!, japo Watanzania tulitaka "Katiba Bora", lakini BMK Imetupatia "Bora Katiba!", if you can't get what you want, just take what you get!, hivyo natoa wito kwa Wana UKAWA, na wale waumini wote wa rasimu ya Warioba, tukubali matokeo!, tuweke silaha chini na ku surrender rasmi. CHADEMA sitisheni maandamano na ku concentrate on what is next, ndio most important kuliko hata hii katiba.

Hata akidi kama isingetimia, ingetimilizwa na kura za Ndio hata kama hazikutosha, zimetosheshwa na zisinge tosheleza kupata "Bora Katiba!".

Zingetoshelezwa!, mchezo mzima umemalizwa kwenye kura za siri na kura za nje ya BMK, na maadam kura za siri, hairuhusiwi kusema nani amepiga nini, deal ni kutangaza kura ya siri moja tuu, ila kila aliyepiga ajue hiyo ndie ile kura yake, kiwisha game, The end justify the means.

Huu ni ushindi mkubwa sana kwa Samweli Sitta, huyu awe ndie rais wetu 2015 ili kukamilisha process ya implementation ya Katiba Mpya.

Pasco.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

7 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Nasema hivii mnalazimisha mambo haya mkale posho vizuri mshibe.mnatufanya wajinga tu mngejua tulivyowachoka mnetumia busara nasio ubabe kwendeni zenu kule na matumbo yenu hovyoooo.nendeni disco sasa mkacheze mfurahie ushindi wenu nasi ushindi wa jumla niwakwenu wachache.kwendeni huko

    ReplyDelete
    Replies
    1. Yatawatokea puani kwa kuwa si mapenzi ya Mungu.Tuiombee Tanzania sana.

      Delete
  2. Tutaomba mungu walemieleka nandumba zao.eee mungu twaikabizi tz mikononi mwako shuhulika nawachache waliojaa uchu wamadaraka,wanaotumia mabavu nahela ili wapite.uwapitishe wale wenyehaki mbelezako ndio watuongoze.wasiofaa dondosha mmoja mmoja tuzike wachukue baba iliwasituumize wala hatutalia tutashukuru ukiwachukua wale washirikina wote angushaa katika jina layesu tunaomba ukuu Wako ukaonekane.amen

    ReplyDelete
  3. kumamako wewe na hao BMK

    ReplyDelete
  4. HIYO NI KATIBA YA SITA NA CCM YA WATANZANIA BADO TUNAISUBIRI NA TUTAIPATA TUUUUU

    ReplyDelete
  5. ACHA USENGE WEWE AWE RAIS BABA AKO HUYO?

    ReplyDelete
  6. itakuwa ni katiba yao na matumbo yao, na c katiba ya watanzania, wakishang'ooooka tu madarakani, hiyo katiba yao itazikwa, halafu itaundwa nyingine ya wananchi.

    ReplyDelete

Top Post Ad