AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mara baada ya kutwaa taji hilo kumeibuka utata juu ya umri wa Miss Tanzania 2014.
Habari zimezagaa katika mitandao ya kijamii, ambapo anatuhumiwa kudanganya umri wake. Kuna taarifa zinasema Bi Sitti alitaja kuwa ana umri wa miaka 18, jambo linalobishaniwa.
Lakini ukweli utajulikana leo 21 Oktoba 2014, ambapo waandaji rasmi wa mashindano ya urembo ya Miss Tanzania, Lino International wameahidi kulitolea ufafanuzi suala hilo.
Binafsi ninayasubiri kwa hamu kubwa maelezo ya kina yatakayo wanyamazisha Watanzania
Binafsi ninayasubiri kwa hamu kubwa maelezo ya kina yatakayo wanyamazisha Watanzania
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK