AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ni mchekeshaji wa Uganda ambae tumekutana na video zake fupifupi nyingi sana kupitia mitandao ya kijamii kama Instagram, facebook na hata tumekua tukirushiana Whatsapp.
Kwenye upande wake wa pili kama binadamu, Kansiime amepost picha ya yeye na mpenzi wake wakiwa wanasherehekea mwaka mmoja wa ndoa yao na kusema
‘Kwenye mahojiano ya hivi karibuni niliulizwa utapigana kwa ajili ya Mwanaume wako? hmmm nikacheka, aliyenihoji hakuwa anajua kama hata naweza kuingia vitani kwa ajili tu ya Ojok wangu, ni mwaka mmoja sasa toka tuchague kuwa pamoja na natarajia kufurahia miaka mingine mingi’
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK