AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwezi uliopita Balozi Shimbo alifanya zaira katika gereza la Stanley nchini Hong Kong. "Ziara ya balozi wetu ilikuwa kama janga kwetu" alisema Gervas, ambaye ni moja ya wafungwa katika gereza la Stanely." Gervas aliongeza "Ametukatisha tamaa katika kampeni yetu dhidi ya madawa ya kulevya, ikiwa ni pamoja na kututahadharisha kuwa tuwe makini au tutahatarisha maisha ya familia zetu Tanzania. Pia Balozi Shimbo alienda mabli zaidi na kukosoa kampeni zetu akisema kuwa hazijaleta mabadiliko makubwa".
Hata hivyo, Edmund Kitokezi, ambaye ni afisa katika Ubalozi wa Tanzania uliopo jijini Beijing, amekanusha kuwa Balozi Shimbo amewatishia wafungwa hao na kuongeza kuwa badala yake Balozi aliwapa moyo wa kufunguka zaidi. "Tunaunga mkono kampeni yao - hii ndiyo position ya serikali. Siyo kazi ya ubalozi kumwambia kila mtu aachane na hiyo kampeni" alisema Kotokezi.
Watanzania waliofungwa Hong Kong walianza kampeni yao dhidi ya biashara ya madawa ya kulevya kwa kuandika barua ambazo zimekuwa zikichapishwa na Padri Fr John Wotherspoon katika tovuti yake Padri Wotherspoon anatoa huduma za kiimani katika magereza huko Hong Kong.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK