AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wa mkoani njoo Dar es salaam kuazia masaa nne kabla hujafika ushaanza kupiga simu upokelewe stendi ya Taifa ubungo,huji kupokelewa utaelekezwa rangi ya mkanda wa daladala ya kupanda,ukifika utakula ugali au wali kwa matembele,halafu unalala sebuleni kwenye kochi bila neti ya kuzuia mbu(mbona utarudi tu mkoani)
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
KAMA MWENYEJI WAKO HANA UWEZO ULITAKA AKAIBE? SI USHUKURU UMEPIKIWA UGALI UNGEKAA NA NJAA UNGESEMAJE OVYOOOOOOOOOO, MIJITU ISIYOKUWA NASHUKRANI
ReplyDeleteMambo ya kutwa treated kama Mfalme eti kwasababu umetoka Dar ilikuwa zamani not now.
ReplyDeleteUmekuja Dar kutafuta maisha, umepanga chumba kimoja bila sebule, huyo mgeni utamlaza wapi, hata hilo kochi huna! Watusamehe kwakweli naomba wabaki huko huko mikoani.
ReplyDelete