Joyce Kiria Amwagia Sifa Mumewe Asema Anafaa Kuwa Mbunge wa Mwanga 2015

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

'Siku zote Taifa lolote lile linaanzia kwenye ngazi ya Familia... Baba au Mama ndani ya Familia akiwa anawajibika vyema kwa Familia yake ni wazi kwamba Familia husika itakuwa na furaha na Amani pamoja na Maendeleo yenye tija kwa wanafamilia... kadhalika watu hao wakipewa jukumu la kuongoza jamii ni wazi kwamba jamii itafaidika na ule uwajibikaji wao kwa kupata huduma bora na kwa wakati.....

Kwa sababu hiyo na mtazamo huo, Mume wangu Henry Kilewo ni Mume na baba bora katika Familia yetu, anatekeleza majukumu yake kama baba na kama Mume vizuri kabisa... ninaimani wananchi wa Mwanga mkimchagua 2015 kuwa Mbunge wenu hakika hamtajuta....

Kwa sasa yupo jimboni kwake Mwanga katika maandalizi ya uchaguzi wa serikali za mitaa... anaamini katika kuweka msingi mzuri, yaani timu atakayokuja kushirikiana nayo wakati ukifika, ili ile kazi ya kuwaletea Maendeleo Wana Mwanga iwe rahisi zaidi... Nami ninamuunga mkono Mume wangu kipenzi katika Ndoto yake hiyo ya kuongoza Jimbo la Mwanga kuanzia 2015... All the best my Love Henry...' Joyce Kiria
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Top Post Ad