Msanii Linex Katapeliwa Sh.11 millions, Steve Nyerere Ahusishwa kwa Utapeli

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Linex msanii wa bongo fleva anaetamba kwa sasa na wimbo wa wema kwa ubaya amedai kutapeliwa shiling 11 milion na jamaa ambaye anaitwa Minyamihela ambaye Steve Nyerere alimuunganisha na Linex na huyo Minyamihela ili aweze kumnunulia gari.

Baada ya kupewa gar Linex alilitumia kwa muda wa siku mbili ndipo huyo Minyamihela kuja kulichukua akimuahid atampatia gari jingine, lakini toka huo mwezi wa kwanza hadi leo Linex hajapewa gari lake na wala jamaa(Minyamihela) hajarudisha hizo pesa na kibaya zaidi jamaa hapokei simu ya Linex. 

Linex anaomba ushauri afanyaje?
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Top Post Ad