AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Msanii huyu wa Nigeria ambae alifanya remix ya number one ya Diamond aliandika kwenye page yake ya instagram >>> TANZANIA STAND UP! HE DID IT na kisha akammention Diamond Platnumz.
Kwenye post hii ya Davido ambae hakupata tuzo yoyote ya Channel O japo alikua anawania, imepata likes zaidi ya elfu kumi na nne kutoka kwa followers wake ambao ni zaidi ya laki nne huku comments zikiwa ni zaidi ya mia saba.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Jamaa yupo peace sn ! Ame2saidia kijana wr2
ReplyDeleteWe ni noma ! Umemsaidia msanii we2
ReplyDeleteWe ni noma ! Umemsaidia msanii we2
ReplyDelete