AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Hili la mtoto wa Mgimwa kugoma kabisa kifo cha utata cha baba yake kisijadiliwe Bungeni huku akijua kuwa anajadiliwa kama Waziri kama anavyoongelewa Hayati Baba wa Taifa ambaye pia anao watoto lakini haionekani kwamba si busara kumjadili baba wa taifa kama inavyotaka kuoneshwa kwamba ni Nongwa kumjadili Mgimwa eti kwa kuwa ameshafariki.
Hii inanitia shaka sana huenda alishirikishwa kwa malipo ya Ubunge.
Ni mawazo tu kwasababu haya mambo yapo je wewe unaonaje kuhusu hilo Swala?
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK