Ukweli Mchungu Kuhusu Wadada Wakazi za Nyumbani (Housegirls) wa Siku Hizi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Zamani miaka hiyo kulikuwa hakuna uhaba wa madada wa kazi na zamani kufeli darasa la saba haikumaanisha hauna akili bali shule za sekondari zilikuwa chache
Tangu mpango wa elimu wa shule za msingi na ule wa sekondari sijui wanaita mesi sijui mmes sijui nini
vijiji vyote hata vile visivyojulikana vina shule za msingi na kila kata kuwa na shule hata mbili za sekondari ni kawaida
Tumeshuhudia sasa hata wasiojua kusoma wanafaulu kwenda sekondari
Mabinti hawa wakimaliza kidato cha nne huwa hawataki kufanya kazi za ndani kwani anaweza kwenda polisi ualimu,unesi au hata kuwa secretary au hata kuuza kwenye stationery etc
Madada wengi wa kazi wa miaka ya karibuni ni wale waliofeli darasa la saba wasiojua hata raisi wa Tanzania ni ...... 
Anayefeli darasa la saba kwa miaka hii ujue ni kilaza namba moja hafai hata kuachiwa nyumba
Ndio maana wadada wa kazi za ndani siku hizi hawapatikani kirahisi na wakipatikana huwa hawaperform kama wazamani kwa sababu ni vilaza walioshindwa hata kujua mlima mrefu kuliko wote afrika.
~mdukuzi
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad