Hatimaye Chriss Brown Afunguka Kuhusu Mapenzi Kwa Rihanna, Ugomvi na Drake na Pepo Linalomsumbua

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Baada ya ukimya wa kama miaka 5 hivi, Chris Brown ameamua kuzungumzia yote yanayomhusu ikiwemo mahusiano yake na Rihanna.
Chris amesema kila kitu ni kama ilikuwa ‘mistake’, na hana haja ya kuwa na majuto kwa kuwa tayari walirekebisha tofauti zao na kwa sasa ‘pepo’ alilonalo ni pepo la kuogopa kushindwa.
Akizungumzia kuhusu yeye na Rihanna, amesema “..naamini ilikuwa ni makosa ambayo siwezi kuyarudia.. nikiangalia nilikuwa nna umri wa kama miaka 17 au 18.. sasa nna 25.. najikuta bado natumikia adhabu ya kufanya huduma za kijamii na natakiwa kuonana na jaji kila baada ya mwezi mmoja na nusu kutokana na tatizo lile..”
Chris Brown na Rihanna walikaa kwenye headlines ambapo imesemekana walijaribu kama kuufufua uhusiano wao, ambapo Chris anasema alihitaji kumuonyesha Rihanna kwamba anaweza kubadilika na kuwa mwanaume ambaye Rihanna anamuhitaji.
Baada ya Chris kumuona Rihanna kwenye show ya Oprah akizungumzia kwa hisia kuhusu Chris, na kusema upo uwezekano wakawa marafiki, Chris aliona namna ambavyo Rihanna anamjali, kitu ambacho hakuwahi kukiona kwa kipindi kirefu, lakini kizaazaa kikawa pale Rihanna alipoanza ‘kutoka’ na Drake ambapo Chris alihisi kuwa Rihanna anafanya hivyo kumuumiza japo yeye hana uadui na yoyote kati yao.

“.. Namna ninavyofanya.. Iko wazi.. Hii ni game, sisi ni vijana.. tunafanya hivi ni kwa sababu ya umri. Nadhani tukifikia miaka 30, tutakuwa tumepevuka na malengo yetu hayatokuwa upande huo tena..”
“..Tumalizane na masuala ya ugomvi, itaonyesha namna gani tumekua na tumepevuka..”-Chris Brown Tazama Video Hapa:
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad