AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akihojiwa na mwandishi wa Tanzania Daima, mh. Zitto amesema PAC IMEPENDEKEZA
1. Kuanza mchakato wa kumvua UJAJI MH. WEREMA
2. Kumfikisha mahakamani
3. Wote waliohusika kuwajibishwa kulipa na kisha kupelekwa mahakamani.
Mh. Zitto amedai hii haiwezi kuisha kama EPA,lazima wahusika wafike mbele ya sheria.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK