AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Pia Rais Amesema Kuhusu Profesa Muhongo Amemuweka kiporo ila ndani ya siku mbili hizi atatoa Maamuzi yake
Je una Maoni yoyote kuhusu Kauli hizo za Jakaya Kikwete?
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Anamlinda na anamwogopa kwa sababu kila alichokifanya Muhongo order imetoka kwake saa hebu fikiri atamfukuaza kivipi?
ReplyDeletehawa ndio waribifu, wasiopenda maendeleo ya Taifa lao bali wamekalia tamaa tuu, ndi maana hata hatuendelei, tena yeye mwanamke, angeangalia wanawake wenzake huko wanakojifungulia hata vitanda hawana wamejazana, wana lala chini tu
ReplyDeleteHaya, alisema kujiuzulu sio fasheni kumbe kufukuzwa kazi ndio fasheni?bora mwanamke anaetafuta riziki kwa kuuza mwili wake kuliko
ReplyDeleteMwanamke huyu asiye na huruma hata kwa watoto wa mitaani,shame on you!
AIBUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU!
ReplyDeleteambo mengi hayaeleweki nchini kwetu isije ikawa katolewa kafara na watu waliohusika kisawaswa lakini ni watu wa raisi na wanajuana siri zao wameachwa!Tumesikiliza bunge kwa makini lakini mambo mengi hayakuelezwa.
ReplyDelete