‘Tanzania ni mfano wa kuiga’ asema mrembo wa Burundi kutokana na umoja tulionesha kwa Idris na Happiness Watimanya

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Diamond Platnumz na Idris Sultan wameiweka Tanzania kwenye ramani ya dunia baada ya ushindi wao wa tuzo ya Channel O na Big Brother Afrika. 

Lakini hayo yote yasingewezekana bila ushirikiano uliooneshwa na Watanzania katika kuwapigia kura. Mwamko huo umeendelea kuonekana pia katika kumpigia kampeni Miss Tanzania, Happiness Watimanywa. Umoja huo umemkuna mrembo wa Burundi anayeishi nchini Sweden, Nella Neth

Nella Neth

“I love me a beautiful, smart and eloquent lady… she makes me wanna be Tanzanian right now,” ameandika Nella kwenye ukurasa wake wa Facebook.

“‪#‎happiness4missworld‬ I can’t get enough of her gracefulness. Hope she wins…. by the way Burundi should take example from Tanzanians… Yall support each other so much like you do everything possible to put your country on the map… sorry to say this but when a Burundian see you progressing all they can do is to ignore and talk shit!!…. Not all of them are like that but in general…. The support tanzania gave to ‪#‎IdrisSultan‬ for Bigbrother africa is a simple example of pure ‪#‎Unity‬. We need to learn from them. 
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad