AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Kawaida sana, huwezi kwenda international kwa nyimbo za namna hii
ReplyDeleteKweli kabisa mdau wa kwanza,nyimbo kama hiyo ni kama ya mtu anaetaka kutoka bongo flava,kiba rudi kwenye nyimbo za mapenzi zenye mionjo ya kiafrica ,bongo flava ndani yake.
ReplyDeletehamna kitu bado sana utaendelea kula madafu tu hapa bongo!
ReplyDeleteWimbo mzuri sana una maudhui mazuri yenye kueleweka, big up Ali Kiba
ReplyDeleteUkweli nyimbo yake inarudia makosa yale yale ya waimbaji wengine inamfumo wa kizulu zulu ukitaka kuwa wa kimataifa ni lazima ubadike sielewi vipi hapa Tz wanavyo tayarisha musiki yao lakini wezetu wanafatilia mpaka milio ya ndege na wanya wengine ili kuhakikisha kinachotegenezwa kinakuwa ni kibao cha wakati wake lakini haya mambo ya kizulu zulu na kizaire
ReplyDelete