AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Siku Mbili tu. Baada ya profesa Sospeter Muhongo kujihuzuru nafasi ya waziri wa nishati na madini hii JanaTume ya Ramani na Madini Miamba na Mawe Duniani yenye makao makuu nchini Uingereza imemteua profesa Muhongo kuwa mtendaji mkuu wa tume hiyo pia atafanya kazi kwenye kampuni inayopasua miamba diniani kama mwenyekiti.
~Source: William Malecela Blog
----
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK
hao bdiyo wazungu bwana, ........ooh wasipowajibika tunasitisha misaada........ wakiisha jiuzulu wanafaa sana kuajiliwa na taasisi za wazungu ????? !!!!!!! chezea zungu wewe
ReplyDeleteMMM YA KWELI HAYO???
ReplyDeleteKizuri chajiuza
ReplyDelete