Hakuna Siri Tena Huyu Ndio Muhusika wa Ujauzito wa Aunty Ezekiel, Amwita Beib na Kumpongeza Kwa Ujauzito

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mwaka 2015 umeanza vizuri kwa Mose Iyobo dancer wa Diamond kwa kumpongeza Aunty Ezekiel na kisha kumwita Beib...Hii sasa imeweka wazi kwamba ni kweli  wawili hawa wana mahusiano na Ujauzito wa Aunty Ezekiel wenye maswali mengi kwa mashabiki wake muhusika ni Mose Iyobo

Mose Iyobo Ambaye ni Mume wa Mtu Ameweka picha hii Hapa chini ya Mwanamke Mjamzito na Kuandika Hivi Kwenye ukurasa wake wa Instagram:

'Lazima tujifunze kutofautisha kati ya kitambi na mimba lakini hapa kuna utata.....mimi ni mmoja kati ya wasio elewa hiki ni nini....au wewe ulikuwa unaonaje hiki ni kitambi au mimba..... na kama hii ni mimba basi congratulation to my beib. .......AEZKL' Mose Iyobo

~udakuspecially.com
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. jamaa kafaidi kweli huyu, kamkojolea yule mtoto!! dah!

    ReplyDelete

Top Post Ad