AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Kilichotokea ni kwamba, Zitto alitia mgomo, nikiwa na maana kwamba alipuuza agizo hilo na hakunyanyuka kabisa.
Unajua ni kwa nini? Zitto Kabwe mwenyewe amekwisha lijibu hilo swali kupitia ukurasa wake wa Facebook.
"Kwa nini sikwenda kusoma taarifa ya PAC leo nilipoitwa na Spika? Jibu rahisi kabisa, siwezi kuona madhila na uvunjifu mkubwa wa HAKI za binadamu nikaendelea na mambo kama hakuna kilichotokea.Kitendo cha polisi kutumia nguvu, kupiga raia hovyo na kumdhalilisha kiongozi wa CUF, Profesa Ibrahim Lipumba ni kitendo cha kulaaniwa kwa nguvu zote"- Zitto Kabwe
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Safi Kamanda!
ReplyDeletetuko pamoja na nyie makamanda safi sanaaaana
ReplyDeleteHivi hakuna makamu wa Mwenyekiti wa Kamati hakuna Katibu tusichezee ratiba
ReplyDeletetupo pamoja zitto wewe jembe
ReplyDelete