AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
I pray that Mwaka huu mtajitahidi kuwachana na the gademu mburulazzz wanaowageuza watumwa badala ya mapenzi U know.....msikate tamaa the day is coming kila mbwa ana siku yake U know every dog has his day mtakuwa huru tu and for sure I love U all mabebezz na my Super Friends mapenzi hayatakiwi kuwa Vita kama vipi liwache mazafantazzz
.......na kama Mamen wako lime cheat kumbuka my gademu deal na wewe Cheat back and then hakikisha limejua itakuwa balance ndio ulisamehe kama hataki liwachilie mbali mazafantazzz!! JAMANI ASUBUHI NJEMA SANA U KNOW!! - le Mutuz
Source: http://instagram.com/lemutuz_nation/
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hana lolote huyo lemutuz ni mpambe tu an atume ana Watu kumaliza noma zao kupotosha na kupumbaza wananchi. Pacho alivopigwa akatokea akasema kinachosemwa sio ukweli lakini asemi kilichotokea nini, bwana mdogo alipopigwa risasi nje Ya maisha club anasema sio ukweli lakini asemi ukweli ni upi watu wasikubali ujinga wake
ReplyDeleteHuyo mwanamke mwenzetu anaetoka na huyu mbulula pole zake,
ReplyDeletemaana hana akili kabisaaaaaaaaaaaaaaaaa
Huyu lemutuz hayuko k-ibaba,kwa maana nyingine hakui kiakili kama wanaume wanavyotakiwa.
ReplyDelete