Lulu Michael Aongelea Swala la Ndoa Kubuma 2014, Aweka Malengo Mengine Kwa Sasa Kuolewa Majaliwa

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Udaku Special
Mwigizaji lulu Michael Amekuwa Midomoni mwa watu wengi baada ya malengo aliyoyaweka 2014 ya kuolewa kubuma , Hivi karibuni amehabarisha na kusema ndoa mungu ndo anapanga hivyo kutokuolewa 2014 hakumpi shida, kwasasa amesema maswala ya kuolewa afikiriri mpaka labda baada ya miaka miwili kupita kama mola atajalia..
Paparazi alipomuuliza kama ana mchumba kwa sasa ama la lulu amekataa kusema lolote kuhusu hilo...

----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad