Mama Abdul Awacharukia Waliosusia Kitabu Cha Kanumba

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MUIGIZAJI mkongwe nchini, Salome Nonge ‘Mama Abdul’ amewacharukia mastaa wa filamu Bongo kwa kususia kujitokeza katika uzinduzi wa kitabu cha Kanumba.

Mama Abdul aliyasema hayo muda mfupi baada ya kuisha kwa uzinduzi wa kitabu hicho uliofanyika mwishoni mwa wiki iliyopita katika Ukumbi wa Landmark, Ubungo Riverside ambapo alisikitishwa kutokana na marehemu kuwa mchango mkubwa katika tasnia ya filamu.

“Wasanii wetu ni wanafiki, wanapata wapi jeuri ya kumtenga Mama Kanumba wakati kwenye msiba walikuwa wote? Au tuseme wameona kwenye uzinduzi hakuna namna ya kupiga dili kama walivyozoea watawakosa watu wa kuwauzia sura.”

“Wamenikera, halafu wakimuona Mama Kanumba wanajifanya kumsalimia kinafiki. Bongo hakuna kama Kanumba waache kujishauwa,” alisema Mama Abdul.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad