AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mchungaji Franck Kabele wa huko Nigeria Aliwaambia waumini wake kwamba anauwezo wa kutembea juu ya maji na asizame kama Yesu.
Siku moja aliwachukua waumini wake hadi Beach ambapo alitaka washuhudie muujiza weka wa Imani , ila baada tu ya kuingiza mguu mmoja kwenye maji akazama na kisha kupotelea kabisa katika maji na kufariki .
Hili si tukio la kwanza chini humo kwa wachungaji kujifanya wanaweza kutembea juu ya maji na kisha kupoteza maisha.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK