Mchungaji Afa Maji Baada ya Kuwaambia Waumini Wake Anaweza tembea Juu ya Maji Kama Yesu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kutembea juu ya Maji si Kitu cha Mchezo Jamani , Sio kila mtu anaweza kufanya hivyo kama alivyofanya Yesu .

Mchungaji Franck Kabele wa huko Nigeria Aliwaambia waumini wake kwamba anauwezo wa kutembea juu ya maji na asizame kama Yesu.

Siku moja aliwachukua waumini wake hadi Beach ambapo alitaka washuhudie muujiza weka wa Imani , ila baada tu ya kuingiza mguu mmoja kwenye maji akazama na kisha kupotelea kabisa katika maji na kufariki .

Hili si tukio la kwanza chini humo kwa wachungaji kujifanya wanaweza kutembea juu ya maji na kisha kupoteza maisha.


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad