AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
AY ambaye kwa sasa yupo jijini Nairobi, Kenya, ameiambia Bongo5 kuwa anashangaa kugundua kuwa namba yake ya simu inapatikana wakati chip anayo yeye na haipo kwenye simu.
Fundi Frank ni miongoni mwa marafiki wa AY walioombwa fedha na mtu huyo
Kuna mtu amehack namba yangu ya Tigo anaomba watu pesa
— Ambwene AY (@AyTanzania) January 12, 2015
Niko Kenya line yangu iko off but nashangaa huko Tanzania iko ON na inatumika
— Ambwene AY (@AyTanzania) January 12, 2015
Kufuatia tukio hilo, Naibu Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, January Makamba ameziagiza mamlaka husika kufuatilia haraka jambo hilo.
“@Tigo_TZ: @JMakamba @AyTanzania tunalipeleka swala hili kwenye idara husika lifanyiwe uchunguzi.”>>>lipatiwe ufumbuzi.
— January Makamba (@JMakamba) January 12, 2015
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK