AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanamke huyo amedai kuwa kilichomfanya awalishe sumu watoto wake ni ugumu wa maisha uliokuwa ukimkabili baada ya kikimbiwa na mumewe.
Kwa mujibu wa jirani yake, siku ya tukio mwanamke huyo alisikika akichimba shimbo ndani ya nyumba yake kabla ya kutangaza kupotelewa na watoto wake siku ya pili yake.
Taarifa ya kupotea kwa watoto hao ilimpa mashaka jirani huyo na kumlazimu akatoe taarifa polisi ambapo maafande walikuja na kufanya msako ndani ya nyumba hiyo ambapo walifanikiwa kufukua maiti za watoto hao.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Kwani jamani watu haogopi mungu ??? kuna watu wanatafuta hawo watoto...pleaseeee angenipigia mie simu niwachukuwe asije kuwadai tena maishani mwake.
ReplyDeleteMmh inamaa huyu mwanamke hana hata ndugu? Hajui km kuna vi2o vya msaada? Kumbe na majirani wapo karibu na hapo kwake mie ninahic sio watoto wake
ReplyDeleteAlipatwa na msongo. nao wakina baba au wanaume wamezidi, mno wao kazi kudai wana watoto, au watoto wangu, mtoto akikuwa na akiwa na uwezo ndio kabisa asiseme, yeye ndio baba, lakini majukumu ya kulea, wanawachia wakina mama pekee yao. hasa hizi nchi zetu, wanawake wanangaika sana na watoto
ReplyDelete