AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ni kweli?
“Sijui nikwambie nini, lakini kama sitaki kulifanya hili suala liwe habari, kiukweli yaani,” FA ameiambia Bongo5.
Vipi kuhusu uhusiano wake na Diamond baada ya kumshirikisha Alikiba kwenye hit single yake, Kiboko Yangu?
“No we are very good as a matter of fact,! amesema Binamu.
“He texts me (Diamond) every now and then, hivyo namcheck nini. Mameneja wake wote watatu washkaji zangu kinoma na yeye tuna mazoea ya kutosha tu hivi tumekaa one of these days tukapiga story sana, hakuna chochote kilichoharibika,” ameongeza rapper huyo.
“I don’t even think Kiba anamind hiyo na anajua kuwa mimi na Diamond we cool na watu wa Diamond pia we cool, they are cool with me na as a matter of fact wananitaniaga ‘wewe team Kiba wewe’. So we good like that.”
Msikilize Mwana FA akiongea hapo chini. ~Bongo5
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Nyie wadaku ndio mnaoupandisha sana huu ugomvi,muwe na aibu.
ReplyDelete