AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mshindi wa Tuzo ya Msanii Bora wa Kike Afrika Mashariki,Vanessa Mdee ‘Vee Money’ amesema hana utamaduni wa kusoma maoni ya mashabiki wake, kwani alijaribu kufanya hivyo akaona yanampa msongo wa mawazo.
“Sisomi maoni ya mashabiki kwa sababu walio wengi wanaharibu hali ya hewa. Mtu utarudi nyuma kwa kuwaza mambo ya watu, ukiona Nick Minaj ameweka kitu kwenye ukurasa wake haimaanishi kwamba anapenda, ni sehemu ya kazi,” alisema.
“Nilipotaka kutumia rangi katika video yangu nilikuwa nimepanga na isitoshe ilikuwa ni wazo jipya. Sipendi kila kazi yangu ifanane na za wengine, suala la kuwa na vitu vingi linakuongezea, zile rangi mbalimbali ni wazo la watu.
Walio wengi hawakujua video hiyo wala hawafahamu rangi zilimaanisha nini,” alisema Vee Money.
Qoute of the Day
'You've gotta dance like there's nobody watching,
Love like you'll never be hurt,
Sing like there's nobody listening,
And live like it's heaven on earth.'
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Makende wewe.
ReplyDeleteDu kweli Negative peoples wengi kuliko positives 1_Pole sana mama
ReplyDelete